kwa nini wanaume wote mnapenda uhusiano wa ngono tu? Msichana asipokubali ngono mnamuona hafai, kwa nini lakini? Kwa nini mnapenda kuwapresha wasichana kuwapa ngono,why? Yawezekana binti anakupenda ila tu hayuko tayari kufanya ngono na wewe, kwa nini msiliongee hilo mkubaliane mpeane muda until the right time? Jamani hebu tusilimit akili zetu upande mmoja, tuangalie na upande mwingine wa shilingi, sio kweli kwamba hatuna kabisa mabinti wenye maadili no.
Najua pro-ngono mtakuja kunishambulia hapa lakini ukweli ndo huo.
Carmel, you said it all, mwanaume akikudate bila kuumpa uroda anakuona hufai kabisa na wala humpendi, baadae ukimpa uroda unageuka kuwa muhuni ukimnyima humpendi, aaaghhhhhhhh, were do we stand????????kwa nini wanaume wote mnapenda uhusiano wa ngono tu? msichana asipokubali ngono mnamuona hafai, kwa nini lakini? kwa nini mnapenda kuwapresha wasichana kuwapa ngono,why? yawezekana binti anakupenda ila tu hayuko tayari kufanya ngono na wewe, kwa nini msiliongee hilo mkubaliane mpeane muda until the right time? jamani hebu tusilimit akili zetu upande mmoja, tuangalie na upande mwingine wa shilingi, sio kweli kwamba hatuna kabisa mabinti wenye maadili no.
najua pro-ngono mtakuja kunishambulia hapa lakini ukweli ndo huo.
carmel, you said it all, mwanaume akikudate bila kuumpa uroda anakuona hufai kabisa na wala humpendi, baadae ukimpa uroda unageuka kuwa muhuni ukimnyima humpendi, aaaghhhhhhhh, were do we stand????????
sio wote,try me........u will be suprised,,,,
Mhhh, mambo ya kutry tena ndio yale yale, mie namshauri Jackson27 awe na subira mpe huyo binti muda wa kutafakari na to make the right decision, give her time, kama ni wako ni wako tu even for next 2 or more years to come.sio wote,try me........u will be suprised,,,,
Morning Chrispin!!!!Taratibu Boss. Ngoja nimalizane naye kwanza.
Morning Chrispin!!!!
kaka sikiliza wewe jifanye upo bize akibp usipokeee wala nn atakuja mwenyewe tu huyo mbona wakooo!
mwenzio Shem wako alinisumbua kinima 10month,zen nikimuelezaga siku hizi huwa anacheeeeeka ndio kawaida ya wasichana wa makabila yafuatayo,Mchaga,Mzigua,Mbondei,Msambaa,Mrangi,Mhaya na Mmasai
kaka sikiliza wewe jifanye upo bize akibp usipokeee wala nn atakuja mwenyewe tu huyo mbona wakooo!
mwenzio Shem wako alinisumbua kinima 10month,zen nikimuelezaga siku hizi huwa anacheeeeeka ndio kawaida ya wasichana wa makabila yafuatayo,Mchaga,Mzigua,Mbondei,Msambaa,Mrangi,Mhaya na Mmasai
wajameni wachaga wameshaekwa humu tena mbona mna visa?
Lol! Mwe! Haya, karibu jamvini. Post ya kwanza kwako lakini ina akili kwelikweli. Nashukuru kwa kujiweka wazi kuwa wewe ni She. Hiyo red nimeipenda sana
Shikamoo kaka Crispin
Marahaba dada/kaka JS. Are you OK? Miss you a lot. Sasa mbona jana hukuja kama tulivokubaliana?
yani wacha tu nitakuPM nikupe sababu kwa nini. halafu mbona unaniita jinsia ambayo sio???unamtisha Jackson27 bureeee
Niko mazoezini nataka kumwangamiza Jackson. Naona nisipokuwa ngangari ntakupoteza.