Korosho bei ya shambani

palesh pizoo

Senior Member
Joined
Apr 14, 2018
Posts
131
Reaction score
224
Wakuu poleni na majukumu,

Ninayofuraha kuwatangazia kuwa nauza korosho bei sawa na shambani ninapatikana Dodoma, Korosho ni safi zinachambuliwa kabla ya kuzifunga na kuzipima kwny mzani ndipo nawapelekea walaji.

Karibuni niwahudumie kwa bei ya Jumla na Rejareja. Itapendeza zaidi ukinitafuta kwa namba 0718137662

Ninapatikana Dodoma


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…