Korodani kuuma na kugeuka limevimba,Mzee wa miaka 65

Korodani kuuma na kugeuka limevimba,Mzee wa miaka 65

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,717
Reaction score
4,295
Habari wakuu Mzee wangu umri miaka65,alianza kuuma sana korodani zote na nyonga na mapaja,korodani moja limejaa limevimba ukubwa wa ngumi

Sasa baada yakumfikisha hospital imeonekana vipimo korodani limegeuka na pia ana infection,Sasa wamesema dawa wanampa kwa siku mbili hizi kuangalia kama litarud au laa,kama halitarudi wamesema afanyiwe operation.

Nauliza hivi operation ya kurudisha korodani huwa ina Ugumu na athari zake zikoje,Yuko Benjamin mkapa
 
Ndugu yangu huu ugonjwa umekuwa tatizo

1. Tarehe 27/07/2025 Mke wako alikuwa na Hernia Ref:

2. Alhamisi iliyopita ukaripoti

3. Ijumaa ukaripoti kuwa

Watu tukajipinda kukupa ushauri

4. Leo hii unaleta tena hii

 
Ndugu yangu huu ugonjwa umekuwa tatizo

1. Tarehe 27/07/2025 Mke wako alikuwa na Hernia Ref:

2. Alhamisi iliyopita ukaripoti

3. Ijumaa ukaripoti kuwa

Watu tukajipinda kukupa ushauri

4. Leo hii unaleta tena hii

😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom