Kongamano la CHASO-Chadema Student Organisation lafana

TGS D

Senior Member
Aug 3, 2010
114
13
Kongamamo lililoandaliwa na CHASO lililofanyika jumamosi 22/01/2011 lilifana na hizi ni baadhi ya picha nilizofanikiwa kupiga.


Enjoy yourself.

Photo-0176.jpg Photo-0176.jpg

Photo-0175.jpg


Wadau wakiwa viwanja vya shule ya Msingi Makuburi kabla ya Kongamamo kuanza.

Photo-0177.jpg
Ndg.Vincent Kimaro nakifungua kongamano

Photo-0179.jpg

Peoplesssss powerrrr!!!!

Photo-0178.jpg
Photo-0180.jpg
Watu wakijumuika huku wameshikana mikono wakiimba Solidarity forever...solidarity forever

Photo-0182.jpg
Photo-0184.jpg
Mh.Zitto Kabwe jukwaani

Photo-0186.jpg
Mh.Joseph Mbilinyi aka Sugu akisalimia wananchi jukwaani.
Photo-0190.jpg
Mh.Sugu akianzisha Sala ya Taifa ambayo ni wimbo wa Taifa baada ya kuombwa na wananchi
Photo-0192.jpg
Mh.Regia Mtema akisalimia wananchi
Photo-0193.jpg
Photo-0194.jpg Photo-0195.jpg

Photo-0201.jpg

Mh.Mnyika akissitiza mada ya katiba jukwaani
Photo-0202.jpg
Ndg.Renatus Mkinga nae alikuwepo
Photo-0205.jpg Photo-0204.jpg Photo-0206.jpg

Photo-0208.jpg

Photo-0207.jpg
Start TV nao hawakubaki nyuma...

Photo-0212.jpg
Sauti ya Simba au Simba mzee mh.Silinde kutoka Mbozi akisalimia wananchi

Photo-0215.jpg
Mh.Marando akihutubia wananchi na kufafanua masuala kuhusu katiba

Photo-0219.jpg
Ndg.Mkinga akisalimiana na wananchi
 

Attachments

  • Photo-0181.jpg
    Photo-0181.jpg
    57.2 KB · Views: 43

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom