TGS D
Senior Member
- Aug 3, 2010
- 114
- 13
Kongamamo lililoandaliwa na CHASO lililofanyika jumamosi 22/01/2011 lilifana na hizi ni baadhi ya picha nilizofanikiwa kupiga.
Enjoy yourself.
Wadau wakiwa viwanja vya shule ya Msingi Makuburi kabla ya Kongamamo kuanza.
Ndg.Vincent Kimaro nakifungua kongamano
Peoplesssss powerrrr!!!!
Watu wakijumuika huku wameshikana mikono wakiimba Solidarity forever...solidarity forever
Mh.Zitto Kabwe jukwaani
Mh.Joseph Mbilinyi aka Sugu akisalimia wananchi jukwaani.
Mh.Sugu akianzisha Sala ya Taifa ambayo ni wimbo wa Taifa baada ya kuombwa na wananchi
Mh.Regia Mtema akisalimia wananchi
Mh.Mnyika akissitiza mada ya katiba jukwaani
Ndg.Renatus Mkinga nae alikuwepo
Start TV nao hawakubaki nyuma...
Sauti ya Simba au Simba mzee mh.Silinde kutoka Mbozi akisalimia wananchi
Mh.Marando akihutubia wananchi na kufafanua masuala kuhusu katiba
Ndg.Mkinga akisalimiana na wananchi
Enjoy yourself.
Wadau wakiwa viwanja vya shule ya Msingi Makuburi kabla ya Kongamamo kuanza.
Ndg.Vincent Kimaro nakifungua kongamano
Peoplesssss powerrrr!!!!
Watu wakijumuika huku wameshikana mikono wakiimba Solidarity forever...solidarity forever
Mh.Zitto Kabwe jukwaani
Mh.Joseph Mbilinyi aka Sugu akisalimia wananchi jukwaani.
Mh.Sugu akianzisha Sala ya Taifa ambayo ni wimbo wa Taifa baada ya kuombwa na wananchi
Mh.Regia Mtema akisalimia wananchi
Mh.Mnyika akissitiza mada ya katiba jukwaani
Ndg.Renatus Mkinga nae alikuwepo
Start TV nao hawakubaki nyuma...
Sauti ya Simba au Simba mzee mh.Silinde kutoka Mbozi akisalimia wananchi
Mh.Marando akihutubia wananchi na kufafanua masuala kuhusu katiba
Ndg.Mkinga akisalimiana na wananchi