Koma,koma kunifatilia,,mimi nina mume wangu ndani..!!sina ham kabisa..!!

sasa mimi ningejuaje kama yeye ni mke wa mtu na haNA hata pete kiganjani??

Yamenitokea jana na sio utani,huyu dada nimekua namfatilia kwa mda mrefu kias chake,,na ni wa hapa hapa mtaani,by the way ubize na mishe mishe za kazi sikuweza kumfuatilia kwa undani,ila kila napokutana nae huwa siishi kumdadisi na kumweleza nia yangu wazi wazi ya kwamba namzimia,,ilikua simple tuh yeye kuniambia ya kwamba ana mume namimi ningemuelewa,kuliko kipindi chote takribani miez mitano napiga zeze nayeye kuishia kulisikiliza tuh bila kutoa tamko lake,nia yake ilikua nini??kunichora au kunirusha roho??

eti jana nimemit nae tabata bima namuulizia kuhus ule mpango anakuja juu,,ooh eti kaka koma,akutake nani??
Tena koma kunifatilia,mimi nina mume wangu ndani,,mpango wa kuja kujitamba na magari yenu ya mkopo ushapitwa na wakati,,sasa yote yanini??

Si angesema tuh na ningemuelewa??,,

kaniharibia sana mood yangu jana yule dada,,

ila poa tuh,kanipunguzia mashuzi..
pole sana kwa yaliyokukuta THE BIG SHOW yaani miezi mitano yote ya kupiga misele ndo umeambulia hayo?pole sana ila don't give up wadada mbona wengi tu??????
 
Last edited by a moderator:
pole sana kwa yaliyokukuta THE BIG SHOW yaani miezi mitano yote ya kupiga misele ndo umeambulia hayo?pole sana ila don't give up wadada mbona wengi tu??????


ni kweli mkuu,miez mitano ni mingi ktk kuvuta subira af mbaya zaid usiambulie chchte
nilijifanya kuweka heshima na ustaarabu mbele
na kiukweli nilimuheshm,nilikua napata tumain kwa ukimya wake kwamba labda leo,labda kesho
kumbe imekua dhahama kubwa
 
Pole sana mkuu, Mayb kipindi chote hicho wakati hakusema kitu alikuwa na conflicts na mumewe so kuona the big show ana show interest it made her feel loved again, sasa nadhani mambo yakarudi kama zamani na huyu mumewe ndo maana ukapewa za uso...:laugh:
 
Pole sana mkuu, Mayb kipindi chote hicho wakati hakusema kitu alikuwa na conflicts na mumewe so kuona the big show ana show interest it made her feel loved again, sasa nadhani mambo yakarudi kama zamani na huyu mumewe ndo maana ukapewa za uso...:laugh:



may be uko sahihi
bt,nimejifunza kutokana na makosa,
kutoswa huku ukiwa na matumain ya kupata ni kunaumiza sana mkuu
 
sasa mimi ningejuaje kama yeye ni mke wa mtu na hana hata pete kiganjani??

Yamenitokea jana na sio utani,huyu dada nimekua namfatilia kwa mda mrefu kias chake,,na ni wa hapa hapa mtaani,by the way ubize na mishe mishe za kazi sikuweza kumfuatilia kwa undani,ila kila napokutana nae huwa siishi kumdadisi na kumweleza nia yangu wazi wazi ya kwamba namzimia,,ilikua simple tuh yeye kuniambia ya kwamba ana mume namimi ningemuelewa,kuliko kipindi chote takribani miez mitano napiga zeze nayeye kuishia kulisikiliza tuh bila kutoa tamko lake,nia yake ilikua nini??kunichora au kunirusha roho??

eti jana nimemit nae tabata bima namuulizia kuhus ule mpango anakuja juu,,ooh eti kaka koma,akutake nani??
Tena koma kunifatilia,mimi nina mume wangu ndani,,mpango wa kuja kujitamba na magari yenu ya mkopo ushapitwa na wakati,,sasa yote yanini??

Si angesema tuh na ningemuelewa??,,

kaniharibia sana mood yangu jana yule dada,,

ila poa tuh,kanipunguzia mashuzi..
sawa mkuu tumefahamu kuwa una kagari tena ka mkopo!
 
sasa mimi ningejuaje kama yeye ni mke wa mtu na haNA hata pete kiganjani??

Yamenitokea jana na sio utani,huyu dada nimekua namfatilia kwa mda mrefu kias chake,,na ni wa hapa hapa mtaani,by the way ubize na mishe mishe za kazi sikuweza kumfuatilia kwa undani,ila kila napokutana nae huwa siishi kumdadisi na kumweleza nia yangu wazi wazi ya kwamba namzimia,,ilikua simple tuh yeye kuniambia ya kwamba ana mume namimi ningemuelewa,kuliko kipindi chote takribani miez mitano napiga zeze nayeye kuishia kulisikiliza tuh bila kutoa tamko lake,nia yake ilikua nini??kunichora au kunirusha roho??

eti jana nimemit nae tabata bima namuulizia kuhus ule mpango anakuja juu,,ooh eti kaka koma,akutake nani??
Tena koma kunifatilia,mimi nina mume wangu ndani,,mpango wa kuja kujitamba na magari yenu ya mkopo ushapitwa na wakati,,sasa yote yanini??

Si angesema tuh na ningemuelewa??,,

kaniharibia sana mood yangu jana yule dada,,

ila poa tuh,kanipunguzia mashuzi..
Hana lolote,ilikuwa bad timing tu ulimkuta na stress kibao,halafu ilo gari pamoja na kukuponda kuwa ni la mkopo analizimika,rudi nyuma kidogo panga mashairi songa mbele tena,ingawa siku hz wanawake hutumii nguvu nyingi sana.
 
Ciello siyo kuhonga tatizo jamaa hakupalilia.
Yeye aliona kumsubiria njiani na kigari chake ataopoa.
Haa kidate hakumpa huyo dada mjanja sana.
 
Last edited by a moderator:
niliheshim mawazo yake
ila hakua mstaarabu,hata kidogo
THE BIG SHOW kaza buti, kesho fuatilia tena na ikiwa siku ya mvua msimamishie huo mkoko wa mkopo miguuni halafu mpe lift na usiongee naye lolote ila kule amakokuelekeza nenda kamshushe (atajiuliza DUDE gani hili linang'ang'ania penzi)
Siku ingine atajilenga tu hao ndio Dada zetu wa huku Bara wameonywa wakifika huko Dar wasikubali lift watanyonywa damu
Pole sana hii Xmas haikukuendea vizuri
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom