Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Baada ya kusemekana Kelvin Yondani, Dante na Juma Abdul kugomea mazoezi kisa kudai malimbikizo ya mishahara kuna taarifa za chini pia zinadai kocha mkuu Mwinyi Zahera naye ameweka mgomo wa kurudi Tanzania mpaka alipwe pesa zake.
Taarifa zinadai kuwa kocha Zahera msimu uliopita kuna pesa alikuwa anazitoa mfukoni kwake kwa ajili ya kuendesha timu kama vile kuisafirisha timu na posho za wachezaji
Taarifa zinadai kuwa kocha Zahera msimu uliopita kuna pesa alikuwa anazitoa mfukoni kwake kwa ajili ya kuendesha timu kama vile kuisafirisha timu na posho za wachezaji