sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Jana katika uwanja wa Aaman uliopo hapa Zanzibar, timu ya Simba Sc iliweza kuwafundisha soka maafande wa KMKM kwa kuwafunga goli 5 kwa bila. Magoli ya Simba Sc yalifungwa na Amis Tambe (2), Shaaban Kisiga 'marlone', Amri Kiemba na Elius Maguri.
Pamoja na soka safi la kitabuni lililooneshwa na Simba Sc, kivutio kingine alikuwa ni mshambuliaji machachari Okwi aliyetambulishwa siku ya jana, japo hakucheza. Ikumbukwe siku ya jumatano timu ya Yanga walipata ushindi wa taaabu sana wa goli 2-0 mbele ya KMKM.
Pamoja na soka safi la kitabuni lililooneshwa na Simba Sc, kivutio kingine alikuwa ni mshambuliaji machachari Okwi aliyetambulishwa siku ya jana, japo hakucheza. Ikumbukwe siku ya jumatano timu ya Yanga walipata ushindi wa taaabu sana wa goli 2-0 mbele ya KMKM.