Kwa hili la Meneja wa Corridor Spring kuwa mgeni tuache fikra mgando. Kama Corridor Spring ni kitega uchumi na kinaendeshwa kibiashara basi misingi ya biashara lazima iheshimike. Hili suala la Mtanzania Mtanzania halina tija. Wote tunafahamu uwezo na tabia zetu linapokuja suala la uwajibikaji.
Sea Cliff Hotel ilikuwa na Mkurugenzi Muingereza, na mameneja kadhaa Makaburu, hii yote ni suala la taaluma na kuchukua uzoefu wa huyo aliyetolewa mbali. Hata Taifa Starz ina kocha mgeni