KKKT kwalipuka

migogoro ya kanisa itamalizwa na waumini wenyewe na viongozi wao sio ya kushabikia hata kidogo kwa kuwa mara nyingi huambatana na adhabu za huduma za kiroho ,je wewe utajisikiaje pale utakapoitwa mbele ya waumini wenzio na kuambiwa kuanzia leo wewe si muumini wetu hujalitendea haki kanisa .
 
Taasisi mbili za kikristo ziko kwenye migogoro sasaiv, dah.....bwana awasaidie mmalize tofauti zenu.
 
Nilivyoona kwalipuka nikafikiri kumechomwa moto! Duh!
 
Hahaha ! Penye rizki hapakosi fitna


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Tatizo ni Askofu Laizer amekaa madarakani muda mrefu sana almost more than 35 years !.

Thomas Laizer yupo madarakani toka 1986. Huu ni mwaka wa 26 sasa. Alaf hakuna kitu kama "almost more than..."

 
Kanisa sio wasimamizi wazuri wa biashara mtu halipi unasema bwana atamfungulia njia aje kulipa.! Wabakie kwenye huduma za jamii na wafanye kana n hi zilizoendelea wanawekeza fedha ya ziada kwenye unit fund ambao wanainvest kwa niaba yao wakitaka hela wanauza baadhi ya vipande.
 
Hatimaye waumini 17 wachanga 2bn kunusuru mali ya KKKT isipigwe mnada.Hongereni sana kwa hilo.
Source;leo Magazetini redio one
 
Nimeambiwa mhamashishaji mkuu wa hiyo michango ni Laigwanani Mkuu.

Hatimaye waumini 17 wachanga 2bn kunusuru mali ya KKKT isipigwe mnada.Hongereni sana kwa hilo.
Source;leo Magazetini redio one
 
Taarifa yako ni yakweli kabisa mtoa mada.Na hapa ninavyoandika huu uzi,Askofu Laizer ni mgonjwa sana kutokana na hali hiyo!
 
βœ…πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…