Kiwanja Mwasonga 32Mx100M kinauzwa

Kiwanja Mwasonga 32Mx100M kinauzwa

Mathematician

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2009
Posts
327
Reaction score
111
Habarini GTs,
Ninauza kiwanja changu mwenyewe Kigamboni Mwasonga, ukubwa uliotajwa hapo juu kwa Milioni saba (7mil). haipungui, kiwanja kiko bomba sana ni flat land kiasi cha mita 60 kutoka barabarani na ni jirani na uwanja uliotengwa kwa ajili ya shule ya serikali mita 200....

kriib... 0714620265
 
MPwA nakutafutia Leo nimebandika tangazo kanisani mpwa utakaepokea simu uliza SRC uniangalie namimi wanao waende choo kikubwa,kigumu sio kama wamekuja uji
 
Mkuu Mathematician, wengine tuko mikoani, hiyo mwasonga ipo kilometa ngapi kutoka kivukoni pale??
 
Last edited by a moderator:
Habarini GTs,
Ninauza kiwanja changu mwenyewe Kigamboni Mwasonga, ukubwa uliotajwa hapo juu kwa Milioni saba (7mil). haipungui, kiwanja kiko bomba sana ni flat land kiasi cha mita 60 kutoka barabarani na ni jirani na uwanja uliotengwa kwa ajili ya shule ya serikali mita 200....

kriib... 0714620265
Nilimpeleka mnunuzi jana ambaye alikuja na kipimio cha kidigitali:teeth: (GPS) na eneo likawa roughly 2596 SQM ingawa tulikona kona kwa sababu ya pori so inaweza fikia SQM 2800 (around 32Mx87M) . Bado lipo bei ni hiyo hiyo tajwa 7M....
Eneo ni zuri sana ni tambarare shule ya serikali imetengewa eneo jirani na pia kuna jirani nimepakana nae amepima eneo lake lina beacons tayari. upande wa pili ukivuka barabara kuna walioanza kujenga nyumba safi bati msauz ebana eeh.
 
Nilimpeleka mnunuzi jana ambaye alikuja na kipimio cha kidigitali:teeth: (GPS) na eneo likawa roughly 2596 SQM ingawa tulikona kona kwa sababu ya pori so inaweza fikia SQM 2800 (around 32Mx87M) . Bado lipo bei ni hiyo hiyo tajwa 7M....
Eneo ni zuri sana ni tambarare shule ya serikali imetengewa eneo jirani na pia kuna jirani nimepakana nae amepima eneo lake lina beacons tayari. upande wa pili ukivuka barabara kuna walioanza kujenga nyumba safi bati msauz ebana eeh.

Aiseee....
 
Nilimpeleka mnunuzi jana ambaye alikuja na kipimio cha kidigitali:teeth: (GPS) na eneo likawa roughly 2596 SQM ingawa tulikona kona kwa sababu ya pori so inaweza fikia SQM 2800 (around 32Mx87M) . Bado lipo bei ni hiyo hiyo tajwa 7M....
Eneo ni zuri sana ni tambarare shule ya serikali imetengewa eneo jirani na pia kuna jirani nimepakana nae amepima eneo lake lina beacons tayari. upande wa pili ukivuka barabara kuna walioanza kujenga nyumba safi bati msauz ebana eeh.
Umbali gani toka barabara ya kwenda kimbiji? mwasonga ipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom