Mkuu, ushauri wangu kwa uchache weka details zifuatazo:
1. Weka wazi ukubwa wa kiwanja na eneo specific kilipo (chanika ni kubwa!). Hii ni muhimu sana.
2. Je kiwanja kinafikika (kuna njia/barabara)?
3. Je kuna huduma muhimu karibu - maji, umeme nk?
5. Bei ya kuanzia ni kiasi gani?
6. Kwa nini unakiuza? Wewe ndiye mmiliki halali?
Ukiweza kuweka picha mbili tatu za eneo kwa kiasi kikubwa zinaweza kujibu baadhi ya hayo maswali. Nimeona threads zako nyingine kuhusu kiwanja hicho lakini bado hazina details za kutosha. Kila la heri.