Kiwanja kiwanja kiwanja kiwanja kiwanja kiwanja

Kiwanja kiwanja kiwanja kiwanja kiwanja kiwanja

che wa Tz

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2011
Posts
277
Reaction score
71
wadau KIWANJA cha kununua KINAHITAJIKA
HARAKA sana maeneo ya kinyerezi, tabata
segerea, ni PM tufanye biashara
 
Je kisarawe 2? Not far from Kigamboni Ferry. Just near where they quary sand. Not far from the beach.
 
hapana, huko sio lengo mkuu, ila asante
 
wadau KIWANJA cha kununua KINAHITAJIKA
HARAKA sana maeneo ya kinyerezi, tabata
segerea, ni PM tufanye biashara
kama vp njoo GOBA KUNGURU km 3 kutoka bagamoyo road na mt 150 kutoka barabara ya goba. sqm 1 =10000 tzs
 
vipi Binju B uko tayari? kiwanja kizuri sana ukubwa 45M X 45 M.
 
Nina milion 15 nahitaji kiwanja kisichopungua ukubwa WA 1200 m2!!!! Maeneo ya Boko, Kigamboni, Bunju, mbweni jkt, kibada, tuangoma...kiwe mahali ambapo watu wameshaanza kujenga kwenye huduma za kijamii...uko pasta au kusikia naomba unijurishe...email yangu ni woowtv@live.co.uk. Asante.
 
Nina milion 15 nahitaji kiwanja kisichopungua ukubwa WA 1200 m2!!!! Maeneo ya Boko, Kigamboni, Bunju, mbweni jkt, kibada, tuangoma...kiwe mahali ambapo watu wameshaanza kujenga kwenye huduma za kijamii...uko pasta au kusikia naomba unijurishe...email yangu ni woowtv@live.co.uk. Asante.

Nina kiwanja kigamboni Mwasonga,kimepimwa na kipo barabarani.Kipo kama km 29 toka feri na karibu na mradi wa maji wa mji wa kigamboni.kina ukubwa wa sqmt 1500,bei yake 20M.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom