Kiwanja kinauzwa

Kiwanja kinauzwa

kalipeni

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
1,585
Reaction score
1,348
Kiwanja kinauzwa kipo kimara mwisho ni kikubwa na kinafaa kwa ujenzi wa kitu chochote kama yad, bar, nyumba za biashara na kuishi nk gari inafika adi uwanjani. mimi sio dalali ni kiwanja cha mama yangu namsaidia kutafuta mteja.
 
Kiwanja kinauzwa kipo kimara mwisho ni kikubwa na kinafaa kwa ujenzi wa kitu chochote kama yad, bar, nyumba za biashara na kuishi nk gari inafika adi uwanjani. mimi sio dalali ni kiwanja cha mama yangu namsaidia kutafuta mteja.

Mkuu maelezo ya msingi umesahau unatupa maelezo ya zaida

Taja ukubwa wa kiwanja,kama kimepimwa,umbali kutoka barabara kuu,uwepo wa huduma za kijamii kama maji na umeme

Kikubwa kuliko vyote bei yake
 
Nakubaliana nawewe kwamba siyo dalali maana madalali wanajua kuandika matangazo na kati ya vitu wasivyosahau ni bei.
 
1bei maelewano 2 ukubwa sina uhakika na namba lakini kama nilivyoeleza nieneo kubwa linalofa kwa kujenga hoteli bar nyumba za kuishi nk 3 kwa anaeijua dar eneo nililokwambia huduma za jamii sidhani kama ni swali 4 umbali kutoka morogoro road si zaidi ya 0.125km
 
Nakubaliana nawewe kwamba siyo dalali maana madalali wanajua kuandika matangazo na kati ya vitu wasivyosahau ni bei.[/QU kweli ndugu yangu apo bei maelewano tu.
 
Nakubaliana nawewe kwamba siyo dalali maana madalali wanajua kuandika matangazo na kati ya vitu wasivyosahau ni bei.[/QU kweli ndugu yangu apo bei maelewano tu na sidhani kama ni sahihi kumpangia mtu bei kabla hajaona mali.
 
[/QU kweli ndugu yangu apo bei maelewano tu na sidhani kama ni sahihi kumpangia mtu bei kabla hajaona mali.[/QUOTE]

We jamaa wa wapi? Kwa hiyo nikurupuke huku niliko Niache kazi za Watu nije kuona kiwanja ili nitajiwe bei!!!! Nini maana ya mtandao kwako? Nina m1 kiwanja m100 halafu nije kuangalia ili nini? Elewa maana ya kutaja bei ndugu. Imagine unaambiwa hummer inauzwaJapan njoo uangalie ili nikutajie bei khaaaa!!
 
Mnapopost matangazo ya biashara msisahau kutaja na bei ya mali yenyewe. Maelewano maana yake nini kama hujataja bei kwanza? Nimewahi kuona tangazo la kiwanja gazetini nikapiga simu ili niambiwe bei nikaambiwa ni kizuri na bei maelewano nikafunga safari kutoka Tabata na kwenda kuona kiwanja Kimara huku uwezo wangu ukiwa ni 3m basi nafika hapo jamaa ananitajia bei 20m nilimpa bonge la shiiiiit na kusepa zangu. Nilikasirika sana make alinipotezea mda wangu bure. Taja bei ili watakaokutafuta wawe tayari wanajua wana uwezo wa kununua.
 
1bei maelewano 2 ukubwa sina uhakika na namba lakini kama nilivyoeleza nieneo kubwa linalofa kwa kujenga hoteli bar nyumba za kuishi nk 3 kwa anaeijua dar eneo nililokwambia huduma za jamii sidhani kama ni swali 4 umbali kutoka morogoro road si zaidi ya 0.125km

Kijana kwanza pole kwa kutokuwa mwandishi mzuri

Kimara maji ni shida kijana na kuna sehemu hata maji ya bomba yale ya kutoka usiku hamna ndio maana nikakuuliza

Sasa fanya hivi,rudi kwa mama muulize ukubwa,kama hajui nenda ukapime japo ujue urefu na upana kwa hatua za binadamu.Pia muulize na bei halafu urudi hapa
 
1bei maelewano 2 ukubwa sina uhakika na namba lakini kama nilivyoeleza nieneo kubwa linalofa kwa kujenga hoteli bar nyumba za kuishi nk 3 kwa anaeijua dar eneo nililokwambia huduma za jamii sidhani kama ni swali 4 umbali kutoka morogoro road si zaidi ya 0.125km

I really really pity you! what is wrong with you; either umeamua tu kupoteza muda kwa kuwapotezea watu muda! au hauelewi unachokifanya, watu tuko serious when it comes to business, funguka mkuu na kama hii kitu sio real ni bora ukasema.

Na kama ni really, mkuu taja bei, size na eneo kilipo hasa, ninaweza nikawa moja ya wanunuzi 'who knows'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom