Kiwanja kinauzwa kipo kimara mwisho ni kikubwa na kinafaa kwa ujenzi wa kitu chochote kama yad, bar, nyumba za biashara na kuishi nk gari inafika adi uwanjani. mimi sio dalali ni kiwanja cha mama yangu namsaidia kutafuta mteja.
1bei maelewano 2 ukubwa sina uhakika na namba lakini kama nilivyoeleza nieneo kubwa linalofa kwa kujenga hoteli bar nyumba za kuishi nk 3 kwa anaeijua dar eneo nililokwambia huduma za jamii sidhani kama ni swali 4 umbali kutoka morogoro road si zaidi ya 0.125km
1bei maelewano 2 ukubwa sina uhakika na namba lakini kama nilivyoeleza nieneo kubwa linalofa kwa kujenga hoteli bar nyumba za kuishi nk 3 kwa anaeijua dar eneo nililokwambia huduma za jamii sidhani kama ni swali 4 umbali kutoka morogoro road si zaidi ya 0.125km