Kiwanja kinauzwa.

Kiwanja kinauzwa.

Mlonda

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
35
Reaction score
2
Kiwanja kinauzwa maeneo ya Dar-Kongowe, lilikuwa shamba kubwa vikamekatwakatwa viwanja vya kujenga.
Bei ni maelewano. piga 0753820584.
Karibu.
 
Kiwanja kinauzwa maeneo ya Dar-Kongowe, lilikuwa shamba kubwa vikamekatwakatwa viwanja vya kujenga.
Bei ni maelewano. piga 0753820584.
Karibu.

Kuna swali huku mkuu njoo
 
hawa watu ndo wanakatisha tamaa,tangazo halikamili?soma JF mana mara nyng watu huwa wanasisitza vtu vya kuweka katika tangazo,jibu haya maswal hapo juu
 
Ni Kongowe ya Mbagala, bei ni 2.4m, ruksa kulipa kwa hawamu mbili, size ni sq meter 25.
 
Wewe square meter 25 mbna ni kidogo sana sasa hicho kiwanja si mita 5 urefu na mita 5 upana si ndio 5*5=25
 
Ni Kongowe ya Mbagala, bei ni 2.4m, ruksa kulipa kwa hawamu mbili, size ni sq meter 25.

Mkuu unafanya biashara lakini hauja changamka na haupo makini,usitegemee hiyo namba ya simu uliyoiweka sababu mtu hawezi kukucheki kama haujawa serious hapa jukwaani.

Embu tuambie hiyo ni Sqrm 25 au ni 25x25?

Halafu vipi kuhusu maji na umeme vimefika kwenye hilo eneo? Na je linafikika? Na lipo umbali gani kutoka barabara kuu ya kwenda mkuranga?
 
5*5 hata sebule hapatoshi, labda ni viwanja vya kujenga flemu moja ya biashara.
 
Tatitizo kipo kongowe ya mbagala ambapo hata nipewe bure nitakipokea tu bila kushukuru
 
Okay nimekupata kongowe kubwa ni wapi? Gari inafika hadi kwanjani? Au ndio kama kibera au manzese mnapishana ubavu ubavu? Ni Skwata?
 
nilimaanisha 25x25, gari inafika, kwa gari ndogo(Saloon Car) haiwezi kufika kwa karibu sana coz barabara haipo ok, kuzunguka kiwanja kuna watu wanajenga so kuna magari yanaleta mchanga mpaka hapo. Bora ukikiona then utaamua vizuri hapa unaweza husipate picha kamili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom