kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 30m×25m. kiwanja kipo sala sala njia ya kwenda kinzudi karibu na "mnanga bar" bei ni million 95, aliye tayari ani PM
Bei ni kiasi gani na kiwanja kipo maeneo gani?
bei ni million 95, kiwanja kipo sala sala njia ya kwenda kinzudi karibu na "mnanga bar"
Sawa mkuu, na kina ukubwa gani?
mita30×mita25 mkuu
Tshs 127,000 per square metre!
kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 30m×25m. kiwanja kipo sala sala njia ya kwenda kinzudi karibu na "mnanga bar" bei ni million 95, aliye tayari ani PM
Mkuu nakuunga mkono kwa hili lakini wala usiwe na wasiwasi kwani Tanzania kwa sasa tuko kwenye burble na tunakoelekea kutakuwa na bust na bei zataanza kuwa reasonable. Angalia ofisi nyingi mjini kwenye hayo ma-high rise ni tupuNchi inahitaji ceiling price ya ardhi/viwanja haraka kuliko ceiling price ya petrol tulionayo. Tanzania ardhi kubwa, haijapimwa, density ndogo ajabu bei zake ni juu kuliko baadhi ya nchi ulaya. Ajabu ni kwamba waziri yupo kila siku anaenda oficin huku watu wanauza sqm moja kwa 127,000. Si bure nchi ina laani hii