kiwanja kinauzwa, kipo ubungo kibangu ukubwa 18x20 gari inafika na kuna tofali zakutosha kabisa ambazo mmiliki alitaka kujenga then yakatokea matatizo.bei 6MILION pia kuna maelewano kwa mwenye kutangaza nia contact ni 0714812375,
Nakatika sana mkuu ila ningependa kukiona pia kujua kama kuna maji na umeme karibu na kama sio chauchakachuaji na naweza kukinunua kwa tsh milion 4 tuu.
kiwanja kinauzwa, kipo ubungo kibangu ukubwa 18x20 gari inafika na kuna tofali zakutosha kabisa ambazo mmiliki alitaka kujenga then yakatokea matatizo.bei 6MILION pia kuna maelewano kwa mwenye kutangaza nia contact ni 0714812375,