Watanganyika tunaruhusiwa kuja Kununua?...Habari nauza kiwanja changu kipo Zanzibar kiwengwa kina ukubwa 33*30 kutoka kwenye kiwanja hadi beach ni dakika 5 kwa kutembea kiwanja kinafaa kwa makazi binafsi lakin pia kwa biashara
Nauza kwa tsh 30million maongezi yapo 🙏 namba ya simu 0764090800
Watanganyika tunaruhusiwa kuja Kununua?...
Sheria ya ardhi Zanzibar inasemaje kuhusu umiliki wa ardhi?
mm mwenyewe mtanganyika naishi kibaha sema nilinunua huko miaka 2 ilopitaWatanganyika tunaruhusiwa kuja Kununua?...
Sheria ya ardhi Zanzibar inasemaje kuhusu umiliki wa ardhi?
33Ă—30 kitu gani?Habari nauza kiwanja changu kipo Zanzibar kiwengwa kina ukubwa 33*30 kutoka kwenye kiwanja hadi beach ni dakika 5 kwa kutembea kiwanja kinafaa kwa makazi binafsi lakin pia kwa biashara
Nauza kwa tsh 30million maongezi yapo 🙏 namba ya simu 0764090800
Ft33Ă—30 kitu gani?
Unamaanisha 10mx10m??
Duh kiwanja au njia hahahaUnamaanisha 10mx10m??
Nyie si ndio mnataka ardhi kule? Mkiambiwa hamna ardhi mnasema mnabaguliwa. Haya sasa chukua huo uchochoro kwa 30m na bado kokoto uje kununua baraUnamaanisha 10mx10m??
Kila la kheri kwa wauzaji na wanunuzi wa viwanja!
Kila la kheri kwa wauzaji na wanunuzi wa viwanja!