Vipi kimepimwa n'a ni full documents ?Eneo: Kibaha kwa mfipa km 2.5 kutoka morogoro road
Ukubwa: 30*60 m
Bei: 8,000,000/=
Ni mali yangu sio dalali
PM tufanye biashara
Vipi kuhusu Huduma za jamii kama Maji, Umeme, n'a halijapakana n'a kambi ya jeshi ?Hakijapimwa
Unaogopa kubomoleshwaMm ngoja bomoa bomoa ipite kwanza.
Tena patamu pale pa finishing, umekunywa uji wa chumvi ununue tiles greda linakujaUnaogopa kubomoleshwa
Vipi kuhusu Majirani, namaanisha pameishaanza kujengeka ?Umeme haujafika ila ndio wanapeleka nguzo, maji vipo visima vya watu binafsi, hakuna kambi ya jeshi karibu