Huu ni ujinga, huwezi kusema bei maelewano bila kuweka bei ya kuanzia. Sasa mtakuwa mnaelewana nini?
Tangazo lenyewe lipo kihuni tu, hamna ukubwa wa kiwanja wala picha.
Huu ni ujinga, huwezi kusema bei maelewano bila kuweka bei ya kuanzia. Sasa mtakuwa mnaelewana nini?
Tangazo lenyewe lipo kihuni tu, hamna ukubwa wa kiwanja wala picha.
nimefungua ili tangazo nikajua kuna detail zote kumbe hamna kitu. Watanzania wenzangu unapouza kitu weka details kama ukubwa wa kiwanja, direction na pia bei hivyo vitu ndio vinavyomvutia mteja. mm ni mnunuzi wa viwanja ila kwa hapa sijavutiwa hata kuuliza zaidi mtoa tangazo jipange