Kiwanja kinauzwa segerea mzimuni

Kabachubya

Member
Oct 6, 2009
87
10
Kiwanja chenye ukubwa wa 15m kwa 15m kwa 18m na kwa mbele ni 23meters,kipo bondeni kuliko endelea, bei inazungumzika.

kwa mawasiliano 0717 123 464 au 0762 101 178
 
Mkuu hivyo vipimo vyako vinanipa tatizo kuvielewa. Kwa mtu ambaye amesoma geometry kidogo atatambua kwamba unazungumzia umbo la BOX!!
 
Mkuu hivyo vipimo vyako vinanipa tatizo kuvielewa. Kwa mtu ambaye amesoma geometry kidogo atatambua kwamba unazungumzia umbo la BOX!!
Technology ya 3D imeshika kasi mpaka kwenye viwanja,

Hapo ni urefu x upana x kimo.
(3-Dimensions)
 
Kiwanja chenye ukubwa wa 15m kwa 15m kwa 18m na kwa mbele ni 23meters,kipo bondeni kuliko endelea, bei inazungumzika.

kwa mawasiliano 0717 123 464 au 0762 101 178
Weka bei hapo, halafu biashara ikishafanyika usisahau kuwalipa JF kwani umeweka tangazo la biashara ubaoni.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom