Kiwanja kinauzwa Mtwara Mjini

Kiwanja kinauzwa Mtwara Mjini

kayandam

Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
52
Reaction score
19
Nauza kiwanja mtwara mjini kiwanja kikubwa kipo karibu na bahari ,ni sehemu nzuri ya kibiashara kwa mtu ambaye anahitaji awasiliane nami kupitia 0658578715,bei mil 180.
 
Nauza Kiwanja maeneo ya airport ilemela-mwanza. Ukubwa 30m*27m (sqm 810). Bei 1.8 ml. 0753101293
 
Wacha ushamba kijana....biashara ni kujitangaza, sasa unauza kiwanja hakuna hata picha? Ukituuzia makaburi je?
 
Nauza kiwanja mtwara mjini kiwanja kikubwa kipo karibu na bahari ,ni sehemu nzuri ya kibiashara kwa mtu ambaye anahitaji awasiliane nami kupitia 0658578715,bei mil 180.
Mtwara mjini sehem gani mkuu, ni Shangani West, Shangan East, Chuno, Likombe, Mangoela, Mikindani, Ufukoni, au wapi? Kina ukubwa gani?
 
Mtwara mjini sehem gani mkuu, ni Shangani West, Shangan East, Chuno, Likombe, Mangoela, Mikindani, Ufukoni, au wapi? Kina ukubwa gani?
kama upo serious piga simu nitakupa maelekezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom