Kiwanja kinauzwa Mivumoni

Joined
Jun 26, 2015
Posts
56
Reaction score
21
Viwanja Vipo 4, kila kimoja kina ukubwa wa 20M*20M.Viwanja vyote vipo sehemu moja (uwanja umekatwa).
bei ya kiwanja kimoja yaani 20M*20M ni milioni7.
Document: serikali ya mtaa paper
Barabara ipo, Umbali toka barabara kubwa hadi kwenye kiwanja ni mita 100.
Umeme upo jirani na kiwanja.
direction Mbuyuni--Salasala--Mivumoni

Call: 0752953860


 
hiyo beiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Ndorooobooo wewe 20*20 ni milioni 7 tena hakijapimwa ,Mie ntakupa 2m.
 
Wazungu wanasema ''No research no right to speak'' Kiongozi siku nyingine fanya kwanza utafiti alafu ndiyo ufungue domo lako usilolipia kodi..:A S wink:
Kwahiyo Milioni2 yako labda ukanunue bagamoyo lasivyo hapa jijini utauziwa bwawa la samaki kama sio kichuguu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…