Kiwanja kinauzwa Mbagala, Tshs million 3

Kiwanja kinauzwa Mbagala, Tshs million 3

Dar ni jiji la watu wajanja mdomoni.kuwa nao makin sana hasa nyakati hizi.waweza uziwa kiwanja cha jeshi
 
Una uhakika wa hivyo vipimo? Naona haviendani na hiyo bei unless iwe open space unataka kumkanyagisha mtu!

weka picha

82 Kwa 45,3m?

Huyu hajajua vizuri vipimo. Pengine anazungumzia futi na sio mita.

Hiyo km sio OS basi kuna Gogoro hapo...

Karibuni mtapaona na tutapima wakuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom