Kiwanja kinauzwa Mbagala, Tshs million 3

Kiwanja kinauzwa Mbagala, Tshs million 3

Mkuu una uhakika hauuzi open space? Ngoja waje
 
mbona nimepata woga baada ya kusoma hii thread yako? OPEN SPACE?
 
Una uhakika wa hivyo vipimo? Naona haviendani na hiyo bei unless iwe open space unataka kumkanyagisha mtu!
 
duuuh hiyo zaidi ya heka kwa million tatu kweli mana heka 70 kwa 30 je ni ukweli
 
Mbagala kubwa ni sehemu gani..? Isije kuwa ni chatembo huko..?
 
NANI AKAISHI MBAGALA, Katafute wateja kwenye vijiwe vya Kahwa sheikh humu JF umekosea watu wana simu za touch unataka waje waibiwe huko
 
NASUBUTU KUSEMA NI UTAPELI, HAMA NI VIWANJA VYA BONDE LA MZINGA AMABAPO UNASHUKIA ZACKEM UNAPANDA GARI ZA MBAGARA KUU, BUT KAMA NI ZAKHEM HAPO KABLA YA KUVUKA KANISA KATORIKI NA KUINGIA KIBONDE MAJI NAKUKATALIA KATU KATU, LABDA HUNAUZA KIWANJA CHA JESHI:shock::shock::shock:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom