Mukhabarat
Member
- Mar 9, 2012
- 90
- 28
Kiwanja kina ukubwa wa mita 25 kwa 40,kinafikika kwa gari bila wasiwasi, barabara inapita mbele ya kiwanja, nguzo ya umeme imesimikwa jirani kabisa na kiwanja,kipo kwenye maeneo ya makazi ya watu yaani wapo majirani walioshajenga na kuhamia, utakuwa jirani na stendi mpya ya mkoa itakayohamishwa toka ubungo, biashara haina dalali. Kwa mawasiliano ya bei n.k piga simu namba 0687 545354