Kiwanja kinauzwa kwa bei poa

Kiwanja kinauzwa kwa bei poa

MWAKIGOBE

Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
65
Reaction score
3
Kiwanja hiki kina ukubwa wa heka moja, kipo ubungo msewe karibu na chuo kikuu cha dar es salaam kinapakana na eneo la chifu kunambi. Pamoja na miti, pia kina nyumba mbili ambazo bado kupauliwa tu. Hati zote zipo. Bei ni mil. 35 tu za kitanzania. 0719646407/0713802507
 
Mkuu wewe ndiye Tindikali au ?

Nauliza hivyo kwa kuwa Tindikali alitoa tangazo hili jana, nyinyi ni madalali?
 
hilo eneo nalijua linauzwa tangu mwaka 2007 bado tu lipo!!!!!!!! tatizo kuna bonde kubwa sana kama futi 50 kupata level inabidi upeleke greda lisawazishe
 
Kwenye maswala ya viwanja, vitu kama ukubwa, umbali kutoka barabarani, upatikanaji wa maji, umeme
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom