Kiwanja kinauzwa Kunduchi

Kiwanja kinauzwa Kunduchi

Nyete

Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
58
Reaction score
61
Wakuu habari za majukumu ! kiwanja kinauzwa kipo eneo la meko kunduchi Dar es salaam ni kama mita 400 Kufika barabara kuu ya mwenge -bagamoyo ukubwa ni :- upana mita 20 urefu mita 36 bei ni mil 15 mawasiliano no 0765544791/0655544791 karibuni Ukiona sm haipatikani tafadhali tuma sms kwani simu inasumbua charge
 
Meko ndio mitaa gani mkuu
Mkuu meko ni hapa ambako kulikuwa na machimbo ya mawe machimbo yalipoisha 2008 wananchi wakafanya makazi yasiyo rasmi lakini juzi mstahiki meya wa halimashauri ya wilaya ya k'ndoni amemaliza utata wote kwa kuruhusu watu waendelee name ujenzi wa makazi kwani kabla eneo hill lilikuwa Mali ya halimashauli ya wilaya ya k'ndoni ikampa mwekezaji achimbe mawe sasa mawe yaliisha toka 2008
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Meko ndio mitaa gani mkuu
Mkuu meko ni hapa ambako kulikuwa na machimbo ya mawe machimbo yalipoisha 2008 wananchi wakafanya makazi yasiyo rasmi lakini juzi mstahiki meya wa halimashauri ya wilaya ya k'ndoni amemaliza utata wote kwa kuruhusu watu waendelee name ujenzi wa makazi kwani kabla eneo hili lilikuwa Mali ya halimashauri ya wilaya ya k'ndoni ikampa mwekezaji achimbe mawe sasa mawe yaliisha toka 2008
 
Wakuu habari za majukumu ! kiwanja kinauzwa kipo eneo la meko kunduchi Dar es salaam ni kama mita 400 Kufika barabara kuu ya mwenge -bagamoyo ukubwa ni :- upana mita 20 urefu mita 36 bei ni mil 15 mawasiliano no 0765544791/0655544791 karibuni Ukiona sm haipatikani tafadhali tuma sms kwani simu inasumbua charge
vp mkuu hatupati kiwanja chini hapo huko kuanzia 6ml..hali ngumu boss wangu pesa hapatikan
 
vp mkuu hatupati kiwanja chini hapo huko kuanzia 6ml..hali ngumu boss wangu pesa hapatikan
Mkuu unapata lakini kinakuwa kidogo unajua hapa baada ya mchimbo kuisha wale wachimbaji wadogo Dogo waligawana kila mmoja akajimilikisha eneo alilokuwa anachimba hi yo ukitaka kikubwa unanunua tuviwanja kadhaa Keisha unaunganisha lakini hiking ni cha pamoja si cha kuunga
 
Wakuu habari za majukumu ! kiwanja kinauzwa kipo eneo la meko kunduchi Dar es salaam ni kama mita 400 Kufika barabara kuu ya mwenge -bagamoyo ukubwa ni :- upana mita 20 urefu mita 36 bei ni mil 15 mawasiliano no 0765544791/0655544791 karibuni Ukiona sm haipatikani tafadhali tuma sms kwani simu inasumbua charge

Mkuu 10 million! Unachukua?
 
Sasa hayo si mashimo nyumba si itakuwa shimoni ,pia VP uhalali wa umiliki wako tutaamini vipi kama ni chako na pia hakina migogoro
 
Sasa hayo si mashimo nyumba si itakuwa shimoni ,pia VP uhalali wa umiliki wako tutaamini vipi kama ni chako na pia hakina migogoro
Mkuu kuanzia kwa Mjumbe mpaka seriali za mitaa no mashahidi kuw ni Mali Yangu .kuhusu mashimo hapa no tambalale no vizuri ukafika ukajionea jinsi palivyo wenye pesa wanashusha mijengo no balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom