Kiwanja kinauzwa kipo pugu kinyamwezi

Kiwanja kinauzwa kipo pugu kinyamwezi

azma

Member
Joined
Nov 23, 2012
Posts
5
Reaction score
0
Wapendwa wana JF,

Nauza kiwanja kipo maeneo ya pugu kinyamwezi kinapakana na shule ya sekondari ya Kinyamwezi
ni km 14 toka air port, mita 400 toka barabara kuu iendayo chanika.
eneo lina ukubwa wa ekari 12. nauza eneo la sq 1200 tu kati ya hizo eka yani (40x30) bei 12 mil maelewano yapo.
Details zake ni kama hivi

Lipo kwenye
Ref: TP DRG NO ILA/MISC 03/42000
1. Plan M: E' 351/128
2. Registered plan No. 42323
3. Survey plot no 2085 Block B
Planned for estate
at Mwakanga
Ilala Municipality
Contact: 0784-859570 /0655 859570
 
Wapendwa wana JF,

Nauza kiwanja kipo maeneo ya pugu kinyamwezi kinapakana na shule ya sekondari ya Kinyamwezi
ni km 14 toka air port, mita 400 toka barabara kuu iendayo chanika.
eneo lina ukubwa wa ekari 12. nauza eneo la sq 1200 tu kati ya hizo eka yani (40x30) bei 12 mil maelewano yapo.
Details zake ni kama hivi

Lipo kwenye
Ref: TP DRG NO ILA/MISC 03/42000
1. Plan M: E' 351/128
2. Registered plan No. 42323
3. Survey plot no 2085 Block B
Planned for estate
at Mwakanga
Ilala Municipality
Contact: 0784-859570 /0655 859570

Unamaanisha hicho kiwanja nd'o kimepimwa, au kimo ndani ya eneo lililopimwa?
Ni mashariki au magharibi mwa barabara ya Chanika (ninamaanisha ni kushoto au kulia kama unatoka Dar kwenda Chanika kwa kutumia barabara ya Chanika kama reference).

Ekari moja hauuzi?

Mimi nina eneo langu Pugu Viwege (huwa tunapachanganya na Pugu Kinyamwezi) upande wa mashariki mwa barabara ya Chanika.


Pia, kama kuna mtu anauza eneo ambalo si chini ya ekari moja maeneo ya Pugu Viwege, hata kama halijapimwa anijulishe
 
Lipo upande wa kulia kwenda chanika, kama unahitaji heka pia tuanaweza kuelewana. Eneo lote halijapimwa liko surveyed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom