Kiwanja kinauzwa kinyerezi DSM

Kiwanja kinauzwa kinyerezi DSM

Tatizo la kinyerezi ni maji. Maji ya serikali hakuna, ya kuchimba ni ya chumvi kinyerezi yote. Yaani hata kuoshea gari hayafai. Ukitokea njia panda ya segerea majumbasita kwenda kinyerezi utapishana na magari ya kubeba maji kupeleka kinyerezi. Kama ni kiwanja cha biashara ambayo haiihitaji maji sawa lakini kama ni kwa ajili ya kuishi jiandae kununua maji kila siku
Samahani muuzaji kwa comment hii
 
Mkuu wewe dalali? Mbona unabadili bei? Ulipo post kwa mara ya kwanza ilikuwa 5,500,000/= lakini gafla umepaa hadi 7m.
 
Wakuu kipo kingine hiyo hiyo kinyerezi cha mita 30 kwa 20, bei m10, maongezi yapo.
 
Picha
Square meter size
Sababu ya kuuza
Kimepimwa na kina hati?
Je wewe ni owner ama broker,
Utapeli umeongezeka sana wa ardhj moaka wenyeviti wa serikali za mtaa wamo
 
appoh unstallment ndio nini? siku nygine uwe unatumia kiswahili

mkuu ni typing error tu maana u and i kwenye simu yangu zipo karibu ni ziro difstace kabisa si unajua natumia simu ya kisasa nokia lumia inauzwa laki 6.mtu wa kariba yangu naweza kushindwa kuandika installment kweli ukizingatia ni msomi mwenye weredi wakutosha
 
Last edited by a moderator:
Wakuu viwanja vingine vip, ila cha m5 na hicho cha m7 vimechukuliwa na wakuu wa humu, ila viwanj vipo vingi tuwasiliane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom