Kiwanja kinauzwa kinyerezi DSM

Kiwanja kinauzwa kinyerezi DSM

Donny9990

Member
Joined
Jan 11, 2015
Posts
89
Reaction score
12
Kama unapenda kiwanja kinyerezi shule, bei 7,000,000 nicheki, 0713415537 unawez hata kujenga frem kwa mbele, MAOGEZ YAPO
 
Kama unapenda kiwanja kinyerezi shule, bei 5,000,000 nicheki, 0713415537 unaweza hata kujenga frem kwa mbele

Kinyerezi ipi? ile ya pugu? karibu na chanika? hebu nipe ramani ya mahali kiwanja kilipo nikucheki fasta
 
Hebu weka ukubwa wa kiwanja tufanye biashara faster
 
Kaka kuna namba ya cm hapo kama upo serious nibip nikupigie.
 
Wakuu ndo mana ya namba nimeweka just call me for more info, au nibp nakupigia.
 
yap kiko poa na hakina longologo! na docoment zote zipo, anauzia shida.
 
Bei nzuri kwa kweli kama unayo chukua. Dsm hakuna mbali, anayesema mbali, atuambie mbali kutoka wapi...!
Watu tulichukua viwanja miaka ya 2000 tukichekwa na watu leo hii watu wanajilaumu kwann walichelewa.
 
Duh bei nzuri sana hiyo

Tatizo hela, kinyerezi shule napajua. Napenda sana Kinyerezi Tabata, kuanzia pale mbuyuni mpaka mwisho, kando kando ya barabara ni kuzuri saaaana. Yaani ni kwamba sina tu hii pesa! Dah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom