Wakuu habari nauza. kiwanja kipo kiluvya kwa komba
kina ukubwa wa Mita 40 kwa 23
Maji na umeme vipo.
Kipo kwenye ramani ya kijiji .
Bei 8M Negotiable
Mimi ni mmiliki halali wa kiwanja na sio dalali.
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.