Kiwanja kinauzwa Kigamboni

Kiwanja kinauzwa Kigamboni

yaser

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
1,361
Reaction score
299
Kiwanja kisichopimwa kinauzwa Kigamboni mwembe mdogo jiran na mradi wa magorofa ya NSSF, ukubwa ni nusu heka kiko maeno karibu na barabara.

Bei milion sita (6m) kwa mwenye uhitaji anicheki kwa 0764 503 076.

Karibuni.
 
Kipo kingine wazo madale heka 1 tsh 80m
Tell me if u r in need
0718010802
 
Kipo kingine wazo madale heka 1 tsh 80m
Tell me if u r in need
0718010802

sasa kipo kingine cha kwangu au cha kwako na kama cha kwako si uanzishe uzi wako mbona watanzania mnapenda kukanyaga ganda la ndizi namna hii....
 
Labda anashindwa kuandika thread yake mkuu muelekeze aweze kujua wanaanidikaje hapa
wengine hawawezi ndo maana wanadandia thread za wenzao

kwa kweli sio ustaarabu angekuomba kwanza kisha na akaweka uzi wake
sasa kipo kingine cha kwangu au cha kwako na kama cha kwako si uanzishe uzi wako mbona watanzania mnapenda kukanyaga ganda la ndizi namna hii....
 
Labda anashindwa kuandika thread yake mkuu muelekeze aweze kujua wanaanidikaje hapa
wengine hawawezi ndo maana wanadandia thread za wenzao

kwa kweli sio ustaarabu angekuomba kwanza kisha na akaweka uzi wake
Simchezo..umetoa ushauri halafu mwisho na wewe ukaweka tangazo lako thread ya mwenzio, mama Wedding Planer!

Karibu kwa huduma za
Decoration (Open hall na kkumbi mbalimbali)
Kutengeneza KADI na KEKI za sherehe mbalimbali
Wedding Planner
 
Hiyo ni signature yangu kama ilivyosignature yako kwa hiyo sio tangazao mkuu elewa maana sign
simchezo..umetoa ushauri halafu mwisho na wewe ukaweka tangazo lako thread ya mwenzio, mama wedding planer!

karibu kwa huduma za
decoration (open hall na kkumbi mbalimbali)
kutengeneza kadi na keki za sherehe mbalimbali
wedding planner
 
bora hata huyo kasem alichonacho ila wengine kaz yao kucritisize tu na hata hawaelew kitu yan mtu anacoment tu aonekane kasem kitu ..embu tujirekebishe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom