Kiwanja kinauzwa Kigamboni

Kiwanja kinauzwa Kigamboni

king kan

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
1,642
Reaction score
2,079
Kiwanja kinauzwa Mwongozo Kigamboni. Kiwanja hiki kina hati na kimepimwa na kiko tambarare tayari kabisa kwa ujenzi.


Kina eneo la square metre 700. Kipo mahali penye usalama wa kutosha na kinafikika kwa barabara nzuri wakati wote wa mwaka.

Bei yake ni milioni 25 za Kitanzania tu.

Kwa wanunuzi wasiliana nami kupitia:

Na. Ya Simu:0712124527
Email: kanfranco@hotmail.com
Au: ni pm hapa hapa jamiiforums
 
Kiwanja kinauzwa Mwongozo Kigamboni. Kiwanja hiki kina hati na kimepimwa na kiko tambarare tayari kabisa kwa ujenzi.


Kina eneo la square metre 700. Kipo mahali penye usalama wa kutosha na kinafikika kwa barabara nzuri wakati wote wa mwaka.

Bei yake ni milioni 25 za Kitanzania tu.

Kwa wanunuzi wasiliana nami kupitia:

Na. Ya Simu:0712124527
Email: kanfranco@hotmail.com
Au: ni pm hapa hapa jamiiforums
Du 700m2 m 25 ! La tuelekee Chanika, hvi nawe kupata eneo la robo heka kwa M5! Itakuwa umbali gani kutoka feri
 
KYALOSANGI Ni kilometre 16 kutoka ferry. Bei ipo juu kutokana na thamani ya maeneo Kigamboni kupanda kutokana na prospects za mji mpya wa Kigamboni, pia satellite cities zipo jirani na eneo kilipo kiwanja.

Unakaribishwa mkuu
 
Last edited by a moderator:
hivi lini watu wanaondolewa kigamboni kupisha mradi wa mji wa kisasa
 
25M kwa kiwanja cha 700Sqmtrs ni sawa na Tsh=35,714/- kila Sqmtr.
 
Alure panda kidogo hata ufikie 23.
 
Last edited by a moderator:
hivi lini watu wanaondolewa kigamboni kupisha mradi wa mji wa kisasa

Arrangement iliyopo siyo kupisha mji mpya. Kuna mpango wa land for equity nadhani ndiyo ilikuwa original concept ya mradi husika.

Hata hivyo eneo kilipo kiwanja hiki ni nje ya plan ya mji mpya wa Kigamboni ni eneo ambalo tayari ililisurvey na kuplan kwa makazi na satellite cities.

Tayari NHC wameanza ujenzi wa makazi kule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom