yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
Jaman kutokana na maisha kubana nmeamua kukata sehem ya ardhi yangu iliyoko maeneo ya ungindon na kuiuza walau nipate kujiendeleza na mambo mengne. Kiko karibia na barabara ukubwa ni 25*20. Bei ni ya kawaida tu ya 4m. Kwa mwenye uhitaj tafadhali anichek 0713806766. Karbuni sana