Kiwanja kinauzwa kigamboni Kibada

Kiwanja kinauzwa kigamboni Kibada

Tujuze details za kiwanja, Kibada Block gani na miundombinu ikoje. Umbali wa kiwanja kutoka barabara kubwa na Je, umeme umefika? nk.
 
Mkuu bei yako kali kidogo ndo maana wameview watu 67 pamoja na mimi lakini nimecomment mie pekee ujue bei yako watu hawana. Watu wanafikiri mkoani hiyo pesa anajenga na chenji inabaki lakini hapo just kiwanja tuu
mkuu unapewa 15m
 
Tujuze details za kiwanja, Kibada Block gani na miundombinu ikoje. Umbali wa kiwanja kutoka barabara kubwa na Je, umeme umefika? nk.
Block 1.. Miundo mbinu yote imefika.. Ni kiwanja kizuri mno
 
Mkuu bei yako kali kidogo ndo maana wameview watu 67 pamoja na mimi lakini nimecomment mie pekee ujue bei yako watu hawana. Watu wanafikiri mkoani hiyo pesa anajenga na chenji inabaki lakini hapo just kiwanja tuu
...Mkuu hiyo ndio market value ya hiki kiwanja kwa sasa kwa wanaoishi Dar es salaam wanafahamu issue ya kutafuta viwanja ilivyo tena vyenye hati ndio issue kwelikweli... Karibu sana
 
Mkuu bei yako kali kidogo ndo maana wameview watu 67 pamoja na mimi lakini nimecomment mie pekee ujue bei yako watu hawana. Watu wanafikiri mkoani hiyo pesa anajenga na chenji inabaki lakini hapo just kiwanja tuu
je kiwanja kipo?
 
...Mkuu hiyo ndio market value ya hiki kiwanja kwa sasa kwa wanaoishi Dar es salaam wanafahamu issue ya kutafuta viwanja ilivyo tena vyenye hati ndio issue kwelikweli... Karibu sana

Market value ya Temeke ni 8,000/- per square mtr so 8m njo chukua fasta, land rent temeke 2,000 per sq mtr kwa mwaka,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom