Kiwanja kinauzwa Chanika Mjini

Mwana Ilala

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
1,286
Reaction score
488
Chanika Mjini(Videte)
50Ft X 50Ft,


Bei: 4.5M.

Umeme na Maji hapo hapo.
0.6Kms kutoka Barabara ya Lami.
1.7Kms toka Chanika Stand.

Pamepimwa kienyeji vizuri sana.
Kiwanja #29 & #30 Bado vinapatikana. Unajenga na kuhamia Leo leo bila kusubiria Umeme na Maji.


 
Mkuu ft 1 ~0.3m,hvyo ndo kusema ukubwa wa icho kiwanja ni 17m×17m,kwa ujenzi wa sasa akisatahili kabisa,kwanini msigawe katika reasonable dimension ambazo zinatosha kwa ujenzi??acheni usaniii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…