Kiwanja kinauzwa bunju A.

Kiwanja kinauzwa bunju A.

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
216
Kipo Bunju A katika eneo linaloitwa Kinondo B.
ukubwa ni miguu 70 x 35
kina karatasi zinazotambuliwa na serikali ya kijiji
ubali toka barabara kuu ya Bagamoyo ni 3km.
umeme na maji vimefika.
pia ndani ya kiwanja kuna jengo ambalo bado halijakamilika lipo katika hatua ya mwisho.
hivyo kiwanja pamoja na nyumba ( pagare) vinauzwa
bei ni 25m maelewano
Tuwasiliane 0657145555.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom