Kiwanja kinauzwa bei poa kipo Arusha Sakina

triza

Member
Nov 11, 2010
41
4
Kiwanja kinauzwa bei poa kipo Arusha Sakina sailentin mita 500 kutoka barabarani,

bei Milioni 8.5 ukubwa ni 22 kwa 17 kina umeme na maji

mawasiliano 0754320077/0655320077/ 0717010310
 
Umbali wa Mita 500 toka barabari.......barabara ya lami au hizo za changarawe? Naishi eneo hilo weka location sahihi ya kiwanja kilipo i.e. karibu na nini?
 
Kiwanja kinauzwa bei poa kipo Arusha Sakina sailentin mita 500 kutoka barabarani,

bei Milioni 8.5 ukubwa ni 22 kwa 17 kina umeme na maji

mawasiliano 0754320077/0655320077/ 0717010310
mkuu naomba hiyo red unifafanulie kidogo; kiwanja kina umeme na maji????? ki vip
 
Kiwanja kinauzwa bei poa kipo Arusha Sakina sailentin mita 500 kutoka barabarani,

bei Milioni 8.5 ukubwa ni 22 kwa 17 kina umeme na maji

mawasiliano 0754320077/0655320077/ 0717010310


Mkuu nasikia eneo la sakina maji ni mgogoro ebu fafanua vizuri hiyo 8.5 ni pamoja na dau la dalali.
 
hehehe bwana Triza watu wa Arusha naona tuko wengi, na jinsi Arusha ilivyo kubwa (soma ndogo), tunajua pande zote za mji....
Jaribu tena badae...:pound:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom