Umbali wa Mita 500 toka barabari.......barabara ya lami au hizo za changarawe? Naishi eneo hilo weka location sahihi ya kiwanja kilipo i.e. karibu na nini?
mkuu naomba hiyo red unifafanulie kidogo; kiwanja kina umeme na maji????? ki vipKiwanja kinauzwa bei poa kipo Arusha Sakina sailentin mita 500 kutoka barabarani,
bei Milioni 8.5 ukubwa ni 22 kwa 17 kina umeme na maji
mawasiliano 0754320077/0655320077/ 0717010310
Kiwanja kinauzwa bei poa kipo Arusha Sakina sailentin mita 500 kutoka barabarani,
bei Milioni 8.5 ukubwa ni 22 kwa 17 kina umeme na maji
mawasiliano 0754320077/0655320077/ 0717010310
Hili eneo si ndilo bomba la CTU linapita?kuna soo ya maji ile mbaya pale.Mkuu nasikia eneo la sakina maji ni mgogoro ebu fafanua vizuri hiyo 8.5 ni pamoja na dau la dalali.