location :Wazo _kontena mivumoni
Ukubwa wa kiwanja : robo tatu(3/4) heka
Faida : kiko ukingoni mwa barabara na miundo mbinu kama umeme upo pia
Bei ya kiwanja : tsh.23M + maelewano
Ni PM kama unania nacho..
shukran...
Kile cha CDA Dodoma ushakipiga?Kimepimwa??? maana ukiwa unatokea Wazo kuelekea Mivumoni upande woote wa kulia haujapimwa na kuna sehemu kuubwa itapita Barabara na watu wengi sana wamelizwa yale maeneo, hivyo hata ukipita utakuta kuna majumba kadhaa makubwa lakini hayajafanyiwa finishing baada ya kustuliwa na wasamalia. Hebu niambie hicho kiwanja kipo upande gani na maeneo gani maana Mivumoni kwasasa kwa vile vilivyo pimwa hata SqMetre 600 kwasasa kupata kwa hiyo M23 ni bahati sana, kama kimepimwa naomba tumalize biashara hata kesho. Sijataka kutumia PM kwa hili mpaka ukifafanua.
Kile cha CDA Dodoma ushakipiga?
Mivumoni inakuja juu sana. Vijana wanajenga sio mchezo! Ikipita lami na maji ya bomba yakifika Tegeta kwishney!
Kimepimwa??? maana ukiwa unatokea Wazo kuelekea Mivumoni upande woote wa kulia haujapimwa na kuna sehemu kuubwa itapita Barabara na watu wengi sana wamelizwa yale maeneo, hivyo hata ukipita utakuta kuna majumba kadhaa makubwa lakini hayajafanyiwa finishing baada ya kustuliwa na wasamalia. Hebu niambie hicho kiwanja kipo upande gani na maeneo gani maana Mivumoni kwasasa kwa vile vilivyo pimwa hata SqMetre 600 kwasasa kupata kwa hiyo M23 ni bahati sana, kama kimepimwa naomba tumalize biashara hata kesho. Sijataka kutumia PM kwa hili mpaka ukifafanua.
Kama unahitaji maeneo ya WAZO-MAKAMBA kipo chenye Upana 35*45 urefu,bei 25 milioni,maongezi yapo.Kama unahitaji piga 0754 856277
Hakijapimwa mdau ila kipo eneo ambalo limepangiliwa kimitaa vizuri,pia kingine kipo salasala upana 40*40 urefu,bei 50milioni.Nyumba 3bedroom na choo ndani,80 milioni size ya uwanja wake ni Upana 35m*47m,maelewano yapo pia.Ila kama utataka mtu wa kukupimia ninae.Kimepimwa nikuunganishe na mtu?