Kiwanja kinauzwa bagamoyo ruvu mtoni

Kiwanja kinauzwa bagamoyo ruvu mtoni

Replies

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
1,497
Reaction score
453
Kiwanja Kiko karibu kabisa na mto RUVU usiokauka maji mwaka mzima,ni kizuri kwa Kilimo cha umwagiliaji Kama Mpunga,matikiti maji,vitunguu na Mazao mengine yote.
Ardhi ni safi sana na waweza kuniPm kwa maelezo zaidi
Bei ni 10M na kina ukubwa wa hekari Tatu(3)

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kiwanja Kiko karibu kabisa na mto RUVU usiokauka maji mwaka mzima,ni kizuri kwa Kilimo cha umwagiliaji Kama Mpunga,matikiti maji,vitunguu na Mazao mengine yote.
Ardhi ni safi sana na waweza kuniPm kwa maelezo zaidi
Bei ni 10M na kina ukubwa wa hekari Tatu(3)

Sent from my iPhone using JamiiForums

Umbali gani toka road
 
Kilometa ngapi kutoka dar na panafikaka kwa urahisi?

Umbali km 70 kutoka Dar city centre na panafikika kwa urahisi kwa sababu njia juu ya Bagamoyo-Msata imejengwa kwa kiwango cha lami na umeme umepita pia,ni njiani kuelekea kiwangwa ambapo His excellency J.k Ana mashamba ya mananasi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umbali gani toka road

Umbali kutoka road kwa sasa ni Kama 300m ila barabara itakapo kamilika kwa kiwango cha lami itakuwa less than 50m


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Matikiti maji zap linalolimwa RUVU MTONI


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1393652427.370651.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1393652427.370651.jpg
    123.9 KB · Views: 224
Mahindi pia yakiwa yamestawi vilivyo katika eneo la RUVU MTONI


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1393652613.023152.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1393652613.023152.jpg
    173.5 KB · Views: 186
Nitafute fasta kwa 0655003510
Kiwanja Kiko karibu kabisa na mto RUVU usiokauka maji mwaka mzima,ni kizuri kwa Kilimo cha umwagiliaji Kama Mpunga,matikiti maji,vitunguu na Mazao mengine yote.
Ardhi ni safi sana na waweza kuniPm kwa maelezo zaidi
Bei ni 10M na kina ukubwa wa hekari Tatu(3)

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna umbali gani kutoka mradi wa irrigation scheme? Au kuna umbali gani kutoka Daraja la pale Mtoni Ruvu hadi kwenye shamba? Barabara ya km 6 ambayo ni rough road haijakamilika kwa lami inaboa sana panachelewesha sana nasikia fedha ya kukamilisha kile kipande ishaliwa sehemu ya kwenda dakika 5 unachukua karibu 30mins.
 
Kuna umbali gani kutoka mradi wa irrigation scheme? Au kuna umbali gani kutoka Daraja la pale Mtoni Ruvu hadi kwenye shamba? Barabara ya km 6 ambayo ni rough road haijakamilika kwa lami inaboa sana panachelewesha sana nasikia fedha ya kukamilisha kile kipande ishaliwa sehemu ya kwenda dakika 5 unachukua karibu 30mins.

Ulichosikia mkuu ni here say barabara itakamilika soon coz JK,Shigongo na watu wote maarufu wanafanya Kilimo chao huko,nnavyoongea umeme umeshafika tayari.Umbali kutoka darajani ni Kama 500m mpaka Shambani ila ni 300m MTONI to shamba umenipata.Na more info call or PM me
 
Umbali kutoka road kwa sasa ni Kama 300m ila barabara itakapo kamilika kwa kiwango cha lami itakuwa less than 50m


Sent from my iPhone using JamiiForums

Kama itakuwa less than 50mita huoni kwamba hiyo ni hatari baadae? Ugomvi na magufuli utauweza kaka?
 
Haina viewers hiyo web yako,kwanza unasumbua kuregister
 
Back
Top Bottom