Kiwanja kinauzwa Bagamoyo Kiromo

Kiwanja kinauzwa Bagamoyo Kiromo

Bintiwangara

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
551
Reaction score
287
Ni Heka Moja. kipo nyuma ya shule ya msingi Kilomo kilometer 3. kutoka kilomo Shule ya msingi. Bei yake ni Mil.4.5 (inaongeleka)
kama una kiitaji Ni pm
 
Ni 3/4 Heka. kipo nyuma ya shule ya msingi Kiromo kilometer 2. kutoka kiromo Shule ya msingi. Bei yake ni Mil.4.
kama una kiitaji Ni pm.

kimepimwa na kina hati, mbali gani kutoka barabara kuu na je ukitoka dar kuelekea bagamoyo kiromo iko upande gani kushoto au kulia?
 
kimepimwa na kina hati, mbali gani kutoka barabara kuu na je ukitoka dar kuelekea bagamoyo kiromo iko upande gani kushoto au kulia?


ukitoka Dar kwenda Bagamoyo Kiromo Shule ya msingi ipo kushoto.umbali wa kiwanja kutoka barabara kuu ni Kilomita 2 pia coz kiromo Shule ya msingi ipo just Barabarani upande wa kushoto ukienda bagamoyo. Kiwanja hakija pimwa. lakini kipo sehemu nzuri wala hakuna tatizo lolote.
 
ukitoka Dar kwenda Bagamoyo Kiromo Shule ya msingi ipo kushoto.umbali wa kiwanja kutoka barabara kuu ni Kilomita 2 pia coz kiromo Shule ya msingi ipo just Barabarani upande wa kushoto ukienda bagamoyo. Kiwanja hakija pimwa. lakini kipo sehemu nzuri wala hakuna tatizo lolote.

hilo ni shamba sio kiwanja mkuu. nina M2 zikifika 4 nitakutafuta.
 
eka 1 ni sawa na sq.m 4,300 hivi. 3/4 ya eka ni kama 50m*64m. je ni vipimo hivi unarefer au miguu ya binadamu mfupi na mrefu wote wanahesabu miguu sabini sabini
 
eka 1 ni sawa na sq.m 4,300 hivi. 3/4 ya eka ni kama 50m*64m. je ni vipimo hivi unarefer au miguu ya binadamu mfupi na mrefu wote wanahesabu miguu sabini sabini

mkuu to be exact 1 acre = 4,046.7 square meters.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom