Kiwanja Kinauzwa Arusha

Kiwanja Kinauzwa Arusha

Msingida

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,567
Reaction score
12,206
Nyumba (pagala) lenye eneo la 20m kwa 25m inauzwa kwa bei ya Tsh 25,000,000/=.
Lipo eneo la Saw Mill - Sombetini.Kwa mawasiliano Tel. 0715313676.(price negotiable) Bei maelewano.

1978669_10202830827628074_302180052_n.jpg
1912363_10202830827508071_644272942_n.jpg
 
Najaribu ku upload picha inanigomea.Ngoja ni hire expart

1969313_10202830827588073_799504526_n.jpg
 
Mkuu hiyo bei ni kiwanja au kiwanja pamoja na nyumba.

Nyumba (pagala) lenye eneo la 20m kwa 25m inauzwa kwa bei ya Tsh 25,000,000/=.
Lipo eneo la Saw Mill - Sombetini.Kwa mawasiliano Tel. 0715313676
 
Hilo ndio tatizo la Arusha, kutaja milioni 25 ni jambo dogo tu!
 
Hata bure sitoi hela yangu.

Umeshasema bure,hela unatoaje?Kuwa mstaarabu,hili jukwaa la matangazo siyo mabishano.Kama huna pisha wenzako wanatafuta
 
Hilo ndio tatizo la Arusha, kutaja milioni 25 ni jambo dogo tu!

Arusha viwanja ni hot cake,Hiki kiwanja kipo strategic area na kinagombaniwa kwa taarifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom