PointAchana na huo ujinga wa kusomesha watoto shule ambazo huzimudu. Wema usizidi uwezo.
Kama mambo sio poa, wahamishie watoto kwenye shule za gharama nafuu na hata ikiwezekana shule za serikali. Usipo angalia utauza kila ulicho nacho kisa watoto ambao hata wanaweza wasije kuwa na manufaa na wewe kwenye uzee wako.
Usisikilize sana mke. Wanawake huwa wana pressure na kutamani vitu vilivyo nje ya uwezo. Ukifanya hivyo, utazeeka kabla ya umri wako na huyo mwanamke atakukimbia na kwenda kuburudishwa na dogo dogo.
Achana kabisa na hivyo vitu. Ishi ndani ya uwezo.
Kiwanja bado kipo,mazungumzo yapo, usisiteBado kipo mkuu
Mkuu tunatofautia vipato na mazingiraSamahani mkuu izo 6.5m zitatosha hadi watakapomaliza elimu yao. Usije ingia mkenge ukalipa muhula huu halafu Januari ikawa kimbembe.
mtoa mada fuata huu ushauri otherwise utauza mpk Ngozi yakoAchana na huo ujinga wa kusomesha watoto shule ambazo huzimudu. Wema usizidi uwezo.
Kama mambo sio poa, wahamishie watoto kwenye shule za gharama nafuu na hata ikiwezekana shule za serikali. Usipo angalia utauza kila ulicho nacho kisa watoto ambao hata wanaweza wasije kuwa na manufaa na wewe kwenye uzee wako.
Usisikilize sana mke. Wanawake huwa wana pressure na kutamani vitu vilivyo nje ya uwezo. Ukifanya hivyo, utazeeka kabla ya umri wako na huyo mwanamke atakukimbia na kwenda kuburudishwa na dogo dogo.
Achana kabisa na hivyo vitu. Ishi ndani ya uwezo.
dah, kimfaacho mtu chakemtoa mada fuata huu ushauri otherwise utauza mpk Ngozi yako
Huu msemo wahenga walinena sana. Una maana kubwa sana kwangudah, kimfaacho mtu chake
Fafanua mkuuHuu msemo wahenga walinena sana. Una maana kubwa sana kwangu
Kuna kipindi nilikuwa nanunua viwanja (enzi za Mkapa na JK) sasa kuna kipindi baba yangu alipata matatizo na kutakiwa kupelekwa India, kila niliyemfuata kunisaidia hata mkopo alikuwa ananipa sababu lukuki. Mwisho wa siku niliuza eneo moja tu kati ya mengi niliyonayo na mzee akaenda kutibiwa na mpk leo yuko salama ugonjwa ulipona kabisa ingawa alikuwa ktk hali mbaya sana. Ndipo huo msemo wa kimfaacho mtu chake ulipochukua maana kubwa sana kwanguFafanua mkuu
Tupo pamoja mkuuKuna kipindi nilikuwa nanunua viwanja (enzi za Mkapa na JK) sasa kuna kipindi baba yangu alipata matatizo na kutakiwa kupelekwa India, kila niliyemfuata kunisaidia hata mkopo alikuwa ananipa sababu lukuki. Mwisho wa siku niliuza eneo moja tu kati ya mengi niliyonayo na mzee akaenda kutibiwa na mpk leo yuko salama ugonjwa ulipona kabisa ingawa alikuwa ktk hali mbaya sana. Ndipo huo msemo wa kimfaacho mtu chake ulipochukua maana kubwa sana kwangu