Kiwanja kinatakiwa

Kiwanja kinatakiwa

Fahari

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
1,044
Reaction score
698
Kiwanja kinatakiwa kiwe maeneo ya Kiluvya au Kibaha umbali usiozidi km 5 toka Morogoro Road.

Ukubwa isiwe chini ya mita za mraba 750, bei ISIZIDI Tsh 2,000,000/=(milioni mbili).

Zingatieni bei, umbali na ukubwa.

Karibuni!
 
Hacha na mambo ya viwanja... Una nunuaje volume 750 kwa 2M tena polini...
 
Kiwanja kinatakiwa kiwe maeneo ya Kiluvya au Kibaha umbali usiozidi km 5 toka Morogoro Road.

Ukubwa isiwe chini ya mita za mraba 750, bei ISIZIDI Tsh 2,000,000/=(milioni mbili).

Zingatieni bei, umbali na ukubwa.

Karibuni!
Boko mnemela kutoka Morogoro road nikakupe mita mraba 600 kwa million 1.8

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom