Plot Agent
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 311
- 20
Toa maelekezo ya umbali wa kufika huko salasala kutoka barabara kuu kwa faida ya wengine pia watakao kuwa interested...
Kiwanja kipo about 3km kutoka bagamoyo road, about 300m kutoka barabara kubwa ya salasala/afrikana
hayo ni maeneo ya kinzudi au vipi? na kinaweza kuongezeka ukubwa
Ndyo ni maeneo ya hayo, Kinaweza kuongezeka.
40x40 ni shilingi ngapi?
mlandizi kama unaelelkea chalinze mkono wa kushoto km 30Mzenga ndio wapi mkuu?
Ahsante kwa offer yako mkuu lakini uwezo wangu ndo ulipoishia million 7 tu siongezi wala sipunguziKaka kwa maeneo hayo uliyoyataja, sijui kama utapata. Mimi ninacho, Tsh m. 18 mita 25 kwa 45, roughly, kama unaweza nipigie 087001207. Kipo Mbezi kwa Yusufu eneo la Michungwani Kina la ulichosema umeme, barabara etc
hahahaha maeneo yanagombaniwa mkuu?ngoja niwahiViwanja bado vipo maeneo ya mkuranga vikindu karibu na barabara kila ekari ni tshs. 700,000/= pia kama unahitaji vingine vipo maeneo ya Naga,o..bagamoyo napo ekari moja ni shs.700.,000/= wahi maeneo yanagombaniwa sana....
Wakuu bado sijapata kiwanja katika maeneo niliyokuwa nayahitaji....kama kuna mtu yoyote anakiwanja maeneo tajwa anijulishe wakuu....Habari zenu wakuu
Nahitaji kiwanja kiwe kati ya maeneo ya tegeta,tabata,kimara au mbezi ya kimara na maeneo ya kongowe ya mbagala....
kiwanja kisiwe mbali kutoka barabara kuu,kiwe kinafikika kwa urahisi kwa gari,kiwe jirani na huduma muhimu kama umeme na maji na kiwe tambarare...
Nikipata maeneo ya boko au bunju au madale itakuwa bora zaidi...
Bajeti yangu ni mil 7 tu....