Ukubwa gani?kinyerezi ipi na bei ni kiasi gani?Kiwanja kipo kinyerezi, kikubwa pia pana maji na barabara inapita pembeni ya kiwanja, umeme , utulivu wa eneo husika ni sifa mojawapo, nipe contact yk
Nina mil 4 nataka uwanja iwe
ni chanika,kitunda,pugu au gongo la mboto ,tafadhari weka sifa za
kiwanja chako,ili kunishawishi
Nina shamba ekari tatu chanika naweza kukumegea nusu eka kwa milioni zako nne tuwasiliane 0784211726
Kipo kizuri Mbezi ya kimara na kina hati kwa milioni 5
Nina mil 4 nataka uwanja iwe
ni chanika,kitunda,pugu au gongo la mboto ,tafadhari weka sifa za
kiwanja chako,ili kunishawishi
Njoo uchukue heka 4 kwa hiyo pesa, Mwasonga kigamboni.
Weka number