Kiwanja kinahitajika Morogoro

Kiwanja kinahitajika Morogoro

abdul_eliesikia

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
787
Reaction score
769
Ninahitaji kiwanja morogoro au tanga

Naomba kiwe kikubwa kidogo size kama 35 kwa 40 au zaidi. Bei utaniambia lakin usisahau na size yake.
Kama unacho kidogo pia niPM.
PM ningependelea zaidi au hata hapa jamvini mwaga mavitu
 
kuna kimoja kipo kihonda kina nyumba imefika kwenye lenta 7m . Uwanja si mkubwa sana lakini unatosha paking ya kama gari nne. Na kama sio mbaya naomba kujua bajeti yako niweze kukuuunganisha na wadau
 
kaka naona kama kinaweza kunifaa... Kihonda maeneo gani? Mi nilitaka kiwanja peke yake ili budget iwe poa zaidi. Lakini hata hicho kitanifaa tuu ili mradi nikione fasta.
 
kipo mazimbu road njia ya kwenda azimio ukitaka kukiona nicheki kwa namba hii 0715026030
 
Kiwanja kingine kipo kihonda mizani maeneo ya Kiegeye utapenda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom