Kiwanja kinahitajika haraka!

Kiwanja kinahitajika haraka!

Abuu Kauthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2011
Posts
4,501
Reaction score
6,900
Wakuu ninahitaji kiwanja maeneo ya Mbagala Chamazi, Mbande na maeneo ya jirani. Kiwanja kiwe na hati na kisiwe na mgogoro, ukubwa ni kuanzia mita 25*30 na offer yangu ni 4mil tsh!
Kama unacho au kuna mtu unamfahamu basi wasiliana nami kwa PM au 0767698281.
Asanteni kwa ushirikiano!
 
Wakuu ninahitaji kiwanja maeneo ya Mbagala Chamazi, Mbande na maeneo ya jirani. Kiwanja kiwe na hati na kisiwe na mgogoro, ukubwa ni kuanzia mita 25*30 na offer yangu ni 4mil tsh!
Kama unacho au kuna mtu unamfahamu basi wasiliana nami kwa PM au 0767698281.
Asanteni kwa ushirikiano!

kuna member ameweka tangazo la kuuza kiwanja kingugi, ila lazima uwe vizuri kwenye sector ya giza, waweza mcheki.
 
kuna member ameweka tangazo la kuuza kiwanja kingugi, ila lazima uwe vizuri kwenye sector ya giza, waweza mcheki.

mkuu asante kwa taarifa lakini mm nahitaji maeneo tajwa. Wakuu hakuna mwenye nacho au info?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom