Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,501
- 6,900
Wakuu ninahitaji kiwanja maeneo ya Mbagala Chamazi, Mbande na maeneo ya jirani. Kiwanja kiwe na hati na kisiwe na mgogoro, ukubwa ni kuanzia mita 25*30 na offer yangu ni 4mil tsh!
Kama unacho au kuna mtu unamfahamu basi wasiliana nami kwa PM au 0767698281.
Asanteni kwa ushirikiano!
Kama unacho au kuna mtu unamfahamu basi wasiliana nami kwa PM au 0767698281.
Asanteni kwa ushirikiano!