Kiwanja kilichopimwa

Kiwanja kilichopimwa

Kariba1

Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
75
Reaction score
4
Khabari wanajamii! kuna kiwanja kinauzwa bagamoyo mjini maeneo ya ukuni, kiwanja ni medium size kimepimwa na ukubwa wake ni sqm 780. bei yake ni ml 7.8 huduma za jamii kama maji, barabara na umeme zipo kwa anayehitaji contact 0714107215 mudy
 
Khabari wanajamii! kuna kiwanja kinauzwa bagamoyo mjini maeneo ya ukuni, kiwanja ni medium size kimepimwa na ukubwa wake ni sqm 780. bei yake ni ml 7.8 huduma za jamii kama maji, barabara na umeme zipo kwa anayehitaji contact 0714107215 mudy

Nimeona tangazo lako
Ninapapenda sana Bagamoyo
Je hakipungyuki angalau kama 5 milion hivi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom