Eneo kilipo ni Mapinduzi East,Barabara kuu ya kuelekea UDOM ukiwa unaiacha Makulu ni upande wa kushoto. Kiko karibu na chuo. Maji yapo kama mita sita kutoka kiwanja kilipo.Nguzo za umeme nazo haziko mbali pia. Hiki kiwanja kimepimwa na CDA. Kina urefu kila pande mita 27,27,23 na 23. Bei ni 4M fixed. Hamna dalali. Kwa mawasiliano SMS/PIGA 0713087251.