Kiwanja for sale

Kiwanja for sale

drphone

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2009
Posts
3,542
Reaction score
294
Kipo Dar wilaya ya Ilala jimbo la ukonga kata ya Kipunguni, kina urefu wa futi 29 na upana wa futi 19 barabara ipo na umeme upo karibu utonunua mchanga wakati wa ujenzi wala maji mnunuzi serious tuwasiliane inbox
 
Hicho Kiwanja cha 29'X19' mtu atajenga nini hapo?
Au ni mita 29X19?
 
hizo futinafikiri anataka atwambie ni kujenga kibanda cha tigo pesa
 
Mkuu fafanua hapo neno futi....una maana futi as foot ambayo 1foot=0.3m? au Foot ya Hatua ambayo tunaichukulia karibia na mita?
 
Hihihi!! Blaza kaa chini ujiandae kwa utulivu....utatuletea cm sasa ivi
 
Kipo Dar wilaya ya Ilala jimbo la ukonga kata ya Kipunguni, kina urefu wa futi 29 na upana wa futi 19 barabara ipo na umeme upo karibu utonunua mchanga wakati wa ujenzi wala maji mnunuzi serious tuwasiliane inbox
samahani mkuu naomba unitoe wasiwasi hii siyo ile kipunguni mashariki ya kitunda relini yenye tetesi ya kuja kuvunjwa na mamlaka ya anga (airport) hapo baadae...penye mgogoro au ulishamalizwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom